• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA

27 September 2019


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA

(Barua zote zitumwe kwa Afisa Mwandikishaji wa Jimbo)



Simu Na. 026-2650021 (D/L)
         Na. 026-2650019 (G/L)
Fax   Na.026-2650242

 S.L.P.19,                              

               IGUNGA.


  27 Septemba, 2019   

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA

Kwa mujibu wa Kifungu cha 7A (4) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Kifungu cha 10 (6) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 9 ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Uchaguzi wa Rais na Wabunge za mwaka 2018 na Kanuni ya 12 ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Uchaguzi wa Madiwani za mwaka 2018.

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Igunga na Manonga anapenda kuwajulisha kuwa, zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Igunga linaanza hivi karibuni. Katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la  Wapiga kura Vituoni, watatumika Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Opeators. Hivyo anakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi hizo;

  • Sifa za Mwombaji wa nafasi ya Mwandishi Msaidizi au BVR Kit Operator
  • Awe raia wa Tanzania.
  • Awe mkazi wa kawaida wa Kata husika anayoombea.
  • Awe na umri usiopungua miaka 18.
  • Awe na elimu ya kuanzia Kidato cha Nne na ajue kusoma na kuandika.
  • Awe na umahiri katika matumizi ya Kompyuta.
  • Asiwe kiongozi au kada wa Chama cha Siasa.
  • Awe mwadilifu na mwaminifu.
  • Waombaji waliowahi kufanya kazi kiustadi katika zoezi la Uandikishaji mwaka 2015 na wanazo sifa zilizotajwa hapo juu watapewa kipaumbele.
  • Majukumu ya Mwandishi Msaidizi na BVR Kit Operator
  • Kuhakikisha kuwa kituo kinafunguliwa kwa wakati na kuanza uandikishaji kwa muda uliopangwa ambao kwa mujibu wa maelekezo ya Tume ni saa 2:00 Asubuhi hadi saa 12:00 jioni.
  • Kubandika bango la Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura na mabango mengine yaliyotolewa na Tume kwa ajili ya kituo cha uandikishaji.
  • Kuhakikisha vifaa muhimu vya kituo vinakuwepo katika Kituo cha kuandikisha Wapiga Kura.
  • Kuwepo kituoni muda wote wa kazi hata kama hakuna Wapiga Kura wanaokuja kujiandikisha au kuboresha taarifa zao.
  • Kusimamia ujazaji wa fomu za Mwombaji (Mpiga Kura) ili kuepusha makosa.
  • Kuingiza taarifa za Mpiga Kura kwenye Mfumo wa Uandikishaji.
  • Kuhakikisha kuwa Wapiga Kura waliokuja kituoni kabla ya saa 12:00 jioni na kupanga foleni wanaandikishwa wote isipokuwa kama wapo wengi, wataorodheshwa majina na kuwapanga kuanza nao siku inayofuata.
  • Kuhakikisha kuwa baada ya uandikishaji wa siku kukamilika, taarifa ya Wapiga Kura walioandikishwa kwa siku hiyo inaandaliwa  na kutunzwa kwa lengo la kumkabidhi Afisa Mwandikishaji Msaidizi ngazi ya Kata.
  • Kuhakikisha kuwa vifaa na nyaraka za uandikishaji vinatunzwa vizuri kipindi chote cha zoezi na kuvikabidhi kwa Afisa Mwandikishaji vikiwa katika ubora wake.
  • Majukumu mengine atakayopangiwa na Afisa Mwandikishaji au Afisa Mwandikishaji Msaidizi.
  • Mambo ya kuzingatia wakati wa kutuma maombi
  • Mwombaji lazima aainishe kazi anayoomba kati ya Mwandishi Msaidizi au BVR Kit Operator
  • Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (detailed CV) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) wawili pamoja na picha 3 (Passport Size) za hivi karibuni.
  • Maombiyote yatapaswa kuambatana na nakala za vyeti vya kitaaluma na kitaalamu.
  • Mwombaji ambaye ni Mtumishi wa Umma atapaswa kupitisha maombi kwa mwajiri wake. Mwombaji ambae si mtumishi wa Umma, maombi yake yapitie kwa Mtendaji wa Kata wa Kata husika anayoomba kufanya kazi.
  • Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 3 Oktoba, 2019
  • Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;


           AFISA MWANDIKISHAJI

          JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA,

          SLP 19,

          IGUNGA.


TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA

AFISA MWANDIKISHAJI

JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA

Matangazo

  • Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga December 18, 2020
  • Fomu ya Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021 (Joining Instruction for Form One 2021) Halmashauri ya Wilaya ya Igunga December 17, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 14, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 27, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • Igunga Kuwa ya Kijani

    January 09, 2020
  • Watendaji wa Kata na Vijiji Wafundwa Igunga

    June 06, 2019
  • Waaswa Watendaji wa Vijiji Kufata Taratibu Kanuni na Sheria za Fedha

    March 18, 2019
  • Hongera Mwayunge Sekondari Kwa Ufaulu Kidato cha Nne 2017

    January 10, 2019
  • View All

Video

Uzinduzi wa upigaji chapa
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa