|
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA (Barua zote zitumwe kwa Afisa Mwandikishaji wa Jimbo) |
|
Simu Na. 026-2650021 (D/L)
Na. 026-2650019 (G/L) Fax Na.026-2650242 |
S.L.P.19, IGUNGA. |
|
|
27 Septemba, 2019 |
Kwa mujibu wa Kifungu cha 7A (4) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Kifungu cha 10 (6) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 9 ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Uchaguzi wa Rais na Wabunge za mwaka 2018 na Kanuni ya 12 ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Uchaguzi wa Madiwani za mwaka 2018.
AFISA MWANDIKISHAJI
JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA,
SLP 19,
IGUNGA.
TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA
AFISA MWANDIKISHAJI
JIMBO LA IGUNGA NA MANONGA
Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa