• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Kilimo, Umwagiliaji



 
 
 
MKUU WA IDARA:
Erasto A. Konga [MSc MNRSA – SUA]

 

UTANGULIZI

Taarifa za Msingi

Idadi ya Tarafa

4

Idadi ya Kata

35

Idadi ya Vijiji

119

Idadi ya Kaya zote

58,674

Idadi ya Kaya za wakulima

55,154

Idadi ya Watu wote

399,727

Idadi ya wakulima

316,582

Idadi ya Kata  zinazohudumiwa na wataalam wa Kilimo.

24

Eneo la Wilaya (km2)

6,912

Eneo linalofaa kwa kilimo (ha)

314,500

 

Watumishi wa Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

Na.
Cheo 

Idadi


Afisa Kilimo Mkuu  I

  1


Afisa kilimo Mkuu  II

  1


Afisa Kilimo Mwandamizi

  0


Afisa Kilimo I

  2


Afisa Kilimo II

  1


Afisa Kilimo Msaidizi Mkuu I

  6


Afisa Kilimo Msaidizi Mkuu II

  3


Afisa Kilimo Msaidizi Mwandamizi

  3


Afisa Kilimo Msaidizi I

  6


Afisa Kilimo Msaidizi  II

  8


Afisa Kilimo Msaidizi III

  3


Afisa Ushirika Mkuu II

  2


Afisa Ushirika II

  -


Afisa Ushirika mwandamizi

  -


Jumla. 

36

Hali ya Hewa

Wilaya hupata mvua kati ya  500 hadi 700 kwa mwaka. Miezi ya mvua (Masika ) ni mwezi  Novemba  hadi Aprili. Ukame hujitokeza kati ya Miezi Januari na  February kila mwaka huathiri Mazao yaliyo shambani kwa kiasi kikubwa.

Kanda za Ikolojia Kilimo na Mazao yanayofaa kulimwa Wilayani Igunga


P12
Ukanda huu una joto kati ya 15oC hadi 30oC kwa mwaka.Ni uwanda tambarareunaofurika maji, udongo wa mfinyanzi wenye chumvichumvi na rutuba nyingi.
Msimu mmoja wa mvua zenye uhakika zinazonyesha kati ya Miezi 3 – 3 .1/2. Mazao yanayostawi ni Mpunga na Malisho ya mifugo
P3
Ukanda huu una joto kati ya 15oC hadi 30oC kwa mwaka.Ni uwanda Mabonde na miinuko kiasi, udongo wa kichanga na tifutifu usio ns rutuba, rutuba kiasi na mbuga
Msimu mmoja wa mvua zenye uhakika zinazonyesha kati ya Miezi 4 – 5. Mazao yanayostawi ni Pamba, Karanga, Ufuta, Alizeti , Mkonge , Mtama, Viazi vitamu, Maharage na mahindi
P7
Ukanda huu una joto kati ya 15oC hadi 30oC kwa mwaka.Ni uwanda tambarare wenye miinuko, udongo mfinyanzi wenye chumvichumvi na rutuba nyingi na maeneo mengine udongo mgumu
Msimu mmoja wa mvua zisizo na uhakika zinazonyesha kati ya Miezi 3 – 3.1/2. Mazao yanayostawi ni Ufuta, Alizeti , , Mtama, karanga  na mahindi
P8
Ukanda huu una joto kati ya 15oC hadi 30oC kwa mwaka.Ni uwanda tambarare wenye miinuko, udongo mgumu kwenye baadhi ya maeneo,mfinyanzi wenye chumvichumvi na rutuba nyingi na maeneo mengine mchanga wenye rutuba hafifu.
Msimu mmoja wa mvua zisizo na uhakika zinazonyesha kati ya Miezi 3 – 3.1/2. Mazao yanayostawi ni Ufuta, Alizeti , , Mtama, karanga  na mahind

 

Mazao yanayozalishwa Wilayani Igunga

Mazao ya Chakula: Mahindi, Mtama, Viazi vitamu na Muhogo ikunde

Mazao ya Biashara: Pamba, Alizeti, Ufuta na Choroko

Mazao ya Chakula na Biashara: Karanga na Mpunga


UZALISHAJI WA MAZAO KWA MISIMU MITANO KUANZIA 2008/2009 HADI 2012/2013

Mazao ya Chakula.

ZAO

2008/2009

2009/2010

2010/2011

2011/2012

2012/2013

Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Mahindi
36,732
51,425
44,982
66,473
40,108
33,635
40,544
26,958
17,918
26,877
Mtama
29,277
39,231
38,925
58,389
24,293
21,378
25,220
18,818
14,659
21,988.5
Mpunga
4,498
17,092
15,408
71,632
3,016
5,730
6,970
5,215
6,361.6
25,446.4
V/Vitamu
13,976
23,759
13,976
27,393
11,582
19,853
13,303
42,073
1,657.2
1,657.2
Mhogo
1,956
1,760
3,457
2,392
3,457
2,392
2,920
1,872
8,493
15,479
Mikunde
9,639
5,783
1,602
6,578
9,431
1,603
9,227
3,613
3,853
2298.9
JUMLA
96,078
139,050
118350
232857
91,887
84591
98184
98549
52,941.8
93,757

Mazao ya Biashara

ZAO

2008/2009

2009/2010

2010/2011

2011/2012

2012/2013


Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Ha
Tan
Pamba
26,542
23,888
21,130
21,130
21,130
21,130
23,319
23,319
17,350
17,350
Karanga
10,950
10,074
10,950
14,235
11,020
11,020
11,973
11,973
6,569
14,451.8
Alizeti
7,652
18,365
12,252
24,504
9,613
21,188
9,660
21,252
6,567
6,567
Ufuta
2,409
14,454
409
327
2,410
1,687
2,782
2,226
1,943
1,554.4
Dengu
-
-
113
103
103
103
517
517
178
178
Choroko
-
-
162
578
2,490
1,494
3,295
1,977
126
126
JUMLA
47553
66,781
45,016
38,777
46,766
56,622
51,546
61,264
32,607
39,923.2


KILIMO CHA UMWAGILIAJI MAJI MASHAMBANI.

Wilaya ya Igunga ina jumla ya Hekta11,547 zinazofaa kwa kilimo cha Umwagiliaji sawa na asilimia tatu(3%) ya eneo lote linalofaa kwa kilimo wilaya ya Igunga.

Hekta 2,707.5 zimejengewa miundombinu ya umwagiliaji iliyoboreshwa ambapo, Mwamapuli ina hekta 630 zinamwagiliwa maji, Itumba ina hekta 157.5, Buhekela ina hekta 400, Choma ina hekta 320, Igurubi ina hekta 400, Mwalunili ina hekta 400,Mwashiku ina hekta 400. Aidha umwagiliaji kwa njiaya uvunaji maji kwa majaruba unafanyika katika eneo linalokadiriwa  kuwa na hekta  4,972.

Na

Kijiji

Skimu

Eneo linalo limwa (ha)

1.
Mwanzugi
Mwamapuli
630.0
2.
Choma
Choma cha nkola
320.0
3.
Lugubu
Itumba
157.5
4.
Igurubi
Igurubi
400.0
5.
Buhekela
Buhekela
400.0
6.
Makomero
Makomero
617.0
7.
Mwamapuli
Mwalunili
400.0
8.
Mwashiku
Mwashiku
400.0
9
Eneo nje ya skimu
Mwanzugi 2517ha, Makomero 459ha, Mwalala 635ha.
3611.0
10
Maeneo mengine
Skimu za asili-(Simbo 449ha, Utuja178ha, Ndembezi 145ha, Nyandekwa 189ha na Majengo 400ha)
1,361.0

Jumla

8,296.5

Aina ya mazao yanayomwagiliwa ni mpunga, mahindi  pamoja na mazao ya bustani ambayo ni nyanya, matango, matikiti maji, kabeji, mchicha, nyanya chungu, biringanya na pilipili hoho.


UCHANGIAJI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATIKA UCHUMI WA WILAYA YA IGUNGA

IRRIGATION SCHEMES AND THEIR CONTRIBUTION TO AGRICULTURAL PRODUCTIVITY

S/No
SCHEME
VILLAGE
SOURCE OF WATER
PRODUC TIVITY (t/ha)

CONTRIBUTION

1
Mwamapuli Irrigation Scheme
Mwanzugi
Mwamapuli dam

7.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, source of water for domestic and animals, fishing production of pastures
2
Choma Irrigation scheme
Choma cha Nkola
Mapilinga river (Seasonal)

3.0

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
3
Itumba Irrigation scheme
Itumba
Seasonal River (weir)

3.0

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
4
Igurubi irrigation Scheme
Igurubi
Seasonal river (weir)

3.0

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
5
Buhekela Irrigation scheme
Buhekela
Seasonal  river (weir)

3.0

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
6
Mwalunili
Mwamapuli
Seasonal river

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
7
Mwashiku
Mwashiku
Seasonal river

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
8
Makomero
Makomero
rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
9
Simbo
Simbo
rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
10
Majengo
Majengo
Rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
11
Utuja
Utuja
Rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
12
Ndembezi
Ndembezi
Rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures
13
Nyandekwa
Nyandekwa
Rain fed

2.5

Job creation, food, enhancing income generating activities, production of pastures



MATUMIZI YA ZANA ZA KILIMO

Idadi matrekta na zana zake

Na

Aina ya zana

Idadi

Jumla

Nzima

Mbovu

1
Trekta

55

8

63

2
Plau za trekta

58

12

70

3
Harrow za trekta

4

11

15

4
Tindo ya trekta (sub soiler)

1

0

1

5
Tela la trekta

54

09

63

6
Power tillers

39

18

57

7
Paddy planter

1

0

1

 

Zana za kukokotwa na wanyamakazi

Na

Aina ya Zana

Idadi

Jumla

Nzima

Mbovu

1

Plau za wanyamakazi

4,586

136

4,450

2

Mikokoteni

9,423

31

9,454

Wanyamakazi:- Maksai  = 7,346, Punda =6,820

Mashine za Usindikaji wa mazao mbalimbali zilizopo

Wilaya
Aina ya mashine
Idadi
Igunga
Mashine za kusaga
324
Mashine za kuchakata mpunga
86
Mashine za kukamua mafuta ya  Alizeti na karanga
32

 

SEKTA YA USHIRIKA

Idadi ya vyama vya Ushirika vilivyoandikishwa katika Halmashauri ya wilaya ya Igunga ni 89 na vipo katika makundi sita 5 kama ifuatavyo:-

Jedwali Na. 5: Idadi na aina ya vyama vya Ushirika. 

S/No
AINA YA VYAMA
HAI
SINZIA
JUMLA
1
Vyama vya Mazao
41
5
46
2
Akiba na mikopo (SACCOS)
19
15
34
3
Vyama vya Umwagiliaji
2
0
2
4
Vyamavya Madini
1
0
1
5
Vyama vya Huduma
0
6
6

JUMLA
63
26
89

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa