• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Idara ya Elimu Sekondari

Idara ya Elimu Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Igunga ina jumla shule za sekondari 33 kati ya hizi, 29 ni za Serikali, 03 zinamilikiwa na taasisi za kidini, na 01 ni ya mtu binafsi. Aidha, kati ya shule 33 zilizopo wilayani Igunga shule 03 zina kidato cha tano na sita ikiwa 02  ni za Serikali  na 01 ni ya taasisi ya Dini.

Idara ya Elimu Sekondari inaundwa na vitengo vitatu katika kutekeleza majukumu yake. Vitengo hivi ni kama ifuatavyo:-

  • Taaluma
  • Takwimu
  • Utamaduni na michezo

IDADI YA WALIMU

Idara ya Elimu Sekondari inahitaji walimu wa sekondari  670 kwa ajili ya  shule  za sekondari za serikali,  waliopo  ni 415 hivyo kuna upungufu wa walimu  255.

IDADI  YA  WANAFUNZI

Idara ya Elimu Sekondari inawanafunzi wapatao 11539 ikiwa wavulana 5671 na wasichana 5868. Aidha, katika shule za sekondari za serikali kuna wanafunzi 9436 ikiwa wavulana 4778 na wasichana 4658.  Katika shule za binafsi kuna wanafunzi 2103 ikiwa wavulana 893 na wasichana 1210.

MAJUKUMU MAKUU YA IDARA YA ELIMU SEKONDARI 

  1. Kuiwakilisha Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia katika Halmashauri kuhusu maswala ya Elimu ya Sekondari.
  2. Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia.
  3. Kusimamia upanuzi wa Elimu ya Sekondari katika Halmashauri.
  4. Kusimamia matumizi ya fedha za Elimu ya  Sekondari na kuhakikisha zinatumika kama ilivyokusudiwa.
  5. Kufutilia na kutathimini maendeleo ya Elimu ya Sekondari katika Halmashauri.
  6. Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu maswala yote ya Elimu ya Sekondari.
  7. Kusimamia haki na maslahi ya Walimu na Watumishi wengine walio chini ya Idara ya Elimu ya Sekondari.
  8. Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya Walimu , Watumishi wasio Walimu na Wanafunzi wa shule zote za Sekondari katika Halmshauri.
  9. Kuhakikisha kuwa shule zote za Sekondari katika Halmashauri zinainua ubora wa mazingira ya kujifunzia na kufundishia.
  10. Kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa