• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Maliasili, Ardhi na Mazingira

IDARA YA ARDHI NA MALIASILI

Idara ya Ardhi na Maliasili katika Halmashauri ya Wilaya ya Igunga inashughulika na masuala ya uendelezaji wa Makazi, Ardhi na usimamizi wa Maliasili. Idara hii inatekeleza na kusimamia majukumu kulingana na Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995, Sera ya Maendeleo ya Makazi ya mwaka 2000, Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999, Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na. 5 ya mwaka 1999, Sheria ya Upimaji na Ramani ya mwaka 1957 na Sheria ya Mipangomiji Na. 8 ya mwaka 2007. Sheria hizo zinatekelezwa na Kanuni za Upangaji Viwango vya Upimaji Mjini za mwaka 2011.

Idara ya Ardhi na Maliasili inaundwa na Sekta mbili ambazo ni;

  • Sekta ya Ardhi
  • Sekta ya Maliasili

Kazi kubwa ya Idara hii ni kusimamia rasilimali Ardhi na Maliasili zilizopo ndani ya Wilaya ya Igunga.

A: SEKTA YA ARDHI

Sekta ya Ardhi imegawanyika katika sehemu nne (4) kama ifuatavyo;

  • Milki Ardhi
  • Mipangomiji
  • Upimaji na Ramani
  • Uthamini

B: SEKTA YA MALIASILI

Sekta ya Maliasili imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni kama ifuatavyo;

  • Misitu
  • Wanyamapori

Idara ina majukumu makuu yafuatayo katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma na uhifadhi wa ecolojia ndani ya Wilaya; ambayo yamechanganuliwa kulingana na vitengo mbalimbali vilivyopo katika Sekta za Idara.

  Majukumu ya Kitengo cha Mipango miji

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji
  • Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini
  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri
  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi
  • Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi
  • Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji
  • Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa
  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi
  • Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja

Majukumu ya Kitengo cha Uthamini

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.
  • Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta
  • Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa
  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu
  • Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania na mauzo ya maliasili

Majukumu ya kitengo cha Upimaji

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji
  • Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)
  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.
  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).
  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)
  • Kuchora plani za Hati (Deed plan)
  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)
  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.
  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)
  • Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)
  • Kutunza kumbukumbu za picha za anga
  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)
  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.
  • Kutoa huduma kwa wateja (customer services)
  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)
  • Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.
  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.
  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)
  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)
  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.
  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.
  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.
  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani
  • Kufanya ubunifu wa ramani mpya
  • Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)
  • Kufanya operasheni za upimaji
  • Kufanya uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)
  • Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\
  • Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.
  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.
  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa.

Majukumu ya Kitengo Misitu

  • Kusimamia shughuli zote za upande wa misitu.
  • Kusimamia watumishi wote wa upande wa misitu walioko makao makuu na kwenye kata.
  • Kusimamia shughuli za Mkuhumi na mkaa endelevu na utoaji vibali kwa wavunaji wa mazao ya misitu.
  • Kusaidiana na Afisa wanyama pori wilaya katika kuratibu na kufuatilia shughuli za sehemu ya wanyamapori.
  • Kuwapangia kazi na kusimamia watumishi wa misitu waliopo makao makuu na kwenye kata.
  • Kutoa elimu ya Hifadhi ya Mazingira, kuhimiza uoteshaji miche ya miti na upandaji miti
  • Kutoa elimu juu ya utengaji wa misitu ya asili (ngitiri) na utunzaji wa misitu ya asili (ngitiri

Majukumu ya Kitengo cha Wanyamapori

  • Doria kusimamia sheria, taratibu na miongozo ya Idara.
  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.
  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.
  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa