• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA MWAKA 2023/2024

Tarehe iliyowekwa: March 5th, 2023

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA IGUNGA 07/02/2023 LIMEPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

Mapendekezo ya Bajeti ya Halmashauri ya Mwaka wa fedha 2023/2024 ni Tshs 39,683,907,572 kutoka vyanzo vya ndani, ruzuku kutoka Serikali Kuu na Wadau wa maendeleo.

 Kutoka kwenye vyanzo vya mapato vya ndani, Halmashauri inakisia kukusanya Tshs 4,422,748,800 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 15% ikilinganishwa na makisio ya mwaka 2022/2023 ambayo ni kiasi cha Tshs3,849,894,000  Ruzuku kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya matumizi ya kawaida  na miradi ya maendeleo  ni Tshs 30,641,020,772 na ruzuku kutoka kwa Wahisani ni Tshs 4,620,138,00 Pia Mpango na Bajeti hii inategemea kuchangiwa na wananchi katika miradi mbalimbali inayopendekezwa.

Mapendekezo ya Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2023/2024 yatatumika kama ifuatavyo:-

 Muhtasari wa mapato kwa mwaka wa fedha 2023/2024

  • Mapendekezo Fedha za Miradi ya Maendeleo zimetengwa Billion 10 na Milion 150 laki 794,720 (laki saba tisini na nne elfu na mia saba ishirini),ambazo zitatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

     

    • Na
    • Aina ya mapato
    • Makisio
    • Asilimia
    • 1
    • Mishahara

    25,581,831,000

    • 64
    • 2
    • Matumizi mengineyo

    3,951,281,852

    • 10
    • 3
    • Miradi ya maendeleo

    10,150,794,720

    • 26.
    •  
    • Jumla

    39,683,907,572

    • 100

    • Mapato yatokanayo na vyanzo vya ndani vya Halmashauri
    • Katika mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri inategemea kukusanya mapato ya ndani ya kiasi cha Tshs. 4,422,748,800 kwa mchanganuo ufuatao:-
    •  

      Bajeti ndio muongozo wa matumizi ya Fedha za Serikali,kwa mwaka 2023/2024 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga itatumia vyema muongozo huo wa bajeti katika kuwaletea maendeleo wananchi.

      • Na
      • Chanzo
      • Makisio
      • 1
      • Vyanzo vya ndani( Mapato Halisi)
      • 3,369,212,000
      • 2
      CHF
      • 44,370,000
      • 3
      • Bima ya Afya
      • 345,039,000
      • 4
      • Uchangiaji huduma za Afya (cost sharing

      462,818,000.00

      • 5
      • Tozo ya Taka ngumu

                           82,500,000

      • 6
      • Duka la dawa

      160,800,000

      •  
      • Jumla ndogo
      • 4,464,739,000

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa