• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Care international Tanzania Yasaidia Vifaa Igunga

Tarehe iliyowekwa: December 11th, 2018

Bi.Catherine Mathias Afisa mradi wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives), Wilaya ya Igunga kutoka shirika la Care International Tanzania amekabidhi vifaa vya kusaidia akina mama katika uzazi salama katika zahanati 16, kituo cha Afya 1, mbele ya Mkurugenzi Mtendaji na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, makabidhiano yaliyofanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga hivi karibuni.

Bi.Catherine aliendelea kusema Shirika la Care Internation Tanzania kupitia mradi wake wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives) unafanya kazi katika kata 33 na vijiji 64 vya Wilaya ya Igunga. Kwa kupitia shirika la care international Tanzania, radi wa TAMANI umetoa vifaa mbalimbali vya kutolea huduma ya mama na mtoto vyenye thamani ya shilingi milioni themanini na nane laki tano thelathini na tano mia sita tu. Tsh.88, 535,600.00

 “ili kufikia lengo mradi umelenga mambo makuu mawili,  ambayo ni kuboresha huduma kwa kutoa mafunzo na kuongeza huduma katika zahanati, vituo vya afya na hospitali.” aliongenza Bi. Catherine.

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashuri ya Wilaya ya Igunga Bwana Revocatus L.K.Kuuli, amewashukuru Care International Tanzania chini ya mradi wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives) kwa kutoa msaada mkubwa wa vifaa vya thamani ya Tsh.88,535,600.00, amendelea kuwaomba kusaidia Halmashauri ya Wilaya ya Igunga pale watakapo fanikiwa tena.

Mradi umetoa mafunzo kwa hudumu wa afya ngazi ya jamii 130, ambao ndio kiunganishi cha jamii na Zahanati katika kutoa huduma nzuri ikiwa ni kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi na watoto chini ya miaka mitano.

Nae Bwana Mayunga Nhondo Mayunga mratibu wa uzazi salama wa Mama na mtoto amewashukuru TAMANI(Tabora Maternal and New born Initiatives) kwa msaada walioutoa, ikwa ni pamoja na  mradi kutoa  mafunzo ya uzazi salama Basic emergency management of Obsteric and neonate Care (BemonC) kwa watumishi wa afya 30, na Comprehesice emergency Management of Obstetic and neonate Care (CemonC)  kwa watumishi 5.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa