• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

DED IGUNGA AWAHAKIKISHA VIONGOZI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI USHIRIKAONO

Tarehe iliyowekwa: January 18th, 2025

WANANCHI wa wilaya ya Igunga mkoani Tabora wako mbioni kunufaika na Mradi wa Umwagiliaji Mwamapuli utakaofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa kushirikiana na serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.

Benki hiyo imetenga takribani Dola milioni 300 ambapo milioni 70 zitapelekwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutekeleza Skimu 23 huku mradi wa Mwamapuli ukitengewa Dola milioni 1.3 sawa na sh. Bilioni nne za kitanzania.

Akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NRC), Salome Mallamia, Mkurungezi Mtenjaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani hapa, Bi. Selwa Abdalla Hamid amemuahidi kiongozi huyo kuzifanyia kazi changamoto zozote zitakazodaiwa kukwamisha Mradi huo.

Alisema wanayo nafasi ya kuendelea kukaa na wakulima kwa lengo la kuwapa elimu ikiwemo kuwashirikisha viongozi wa ngazi tofauti ikiwemo watendaji wa kata na kijiji.

Aliweka wazi kuwa Igunga kwa kiwango kikubwa inategemea mapato kwenye kilimo, hivyo kwa lengo la kuendelea kukuza mapato watajikita kwenye kilimo licha yakua baadhi ya mapato yanapatikana katika madini ya dhahabu.

‘’Ninaamini kilimo kinaweza kuendelea kuwanyanyua watu wetu, ni jukumu langu kuhakikisha maslahi na mapato ya wananchi na Halmashauri yanapanda’’ alisema na kuahidi kuwa:

‘’Mtapata mabadiliko chanya kwa lengo la kuhakikisha wakati mnaendelea msipate shida yoyote kuhusu kuwekeza na kuleta miradi ikiwemo kutoa sifa nzuri kuwa Igunga imejipanga,’’ alisema.

 Naye Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NRC), Salome Mallamia alimuomba Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuifanyia kazi changamoto ya uharibufu wa miundombinu ambayo inadaiwa kuharibiwa kutokana na  uingizaji wa N’gombe zinazofuata malisho.

==== //// ==== //// ==== //// ====



Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • WANAWAKE WAKUMBUSHWA UMUHIMU WAO DUNIANI

    March 09, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa