• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

DR MSONDE AUPONGEZA UONGOZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IGUNGA KWA USHIRIKIANO KATIKA UJENZI WA MIRADI YA ELIMU.

Tarehe iliyowekwa: June 30th, 2023

Mheshimiwa Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Dr Charles Msonde amewapongeza Viongozi wa Chama na Serikali kwa ushirikiano walionao katika usimamizi wa miradi ya Elimu ya Shule za Msingi na Sekondari.Dr Msonde amesema Serikali inamalengo iliyojiwekea katika utoaji wa Elimu Nchini,ili Malengo hayo yatimie ni lazima kuwepo na Falsafa ya pamoja kati ya Viongozi wa Chama (CCM) na Viongozi wa Serikali.Ameyasema hayo 27/06/2023 akiwa kweye Ujenzi wa Shule Mpya yenye Mikondo 16 inayojengwa kwa Mradi wa BOOST.Pia Dr Msonde alitembelea Shule ya Sekondari Nanga na kuona ujenzi wa Madarasa na Mabweni kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha 5,mwaka 2023. Katika Mradi huo wa Mabweni na Madarasa Dr Msonde aliwataka Viongozi na Mafundi kufanya kazi usiku na mchana ili malengo ya Serikali ya kupokea Wanafunzi wa kidato cha 5 mwaka huu yatimie.

Msonde alieleza katika hutupa yake ya majumuisho katika Ukumbi wa Halmashauri kuwa,Miaka ya 2016 kunaongezeko kubwa la Wanafunzi wa Shule za Msingi,ongezeko hilo limefanya wanafunzi laki 4 na kidogo mwaka 2016 kujiunga na Kidato cha kwanza.

Mwaka 2021 wanafunzi laki 9 na 70 elfu (970,000) walijiunga na Kidato cha 4, Mwaka huu (2023) Wanafunzi Milioni 1 na 76 (1,000,076) walijiunga na kidato cha 4 hii inatokana na Sera ya Elimu inayosema Elimu Msingi hadi Kidato cha 4. Dr Msonde alisema kuwa idadi hiyo ni kubwa hivyo Serikali inayoongozwa na Mhe,Daktari Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuweka Miundo Mbinu toshelevu kuhakikisha watoto wa Kitanzania wanapata Elimu Bora.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa