• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Tarehe iliyowekwa: September 15th, 2025

MKUU wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Ndug. Hamisi H. Hamisi amemshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza mishahara na kupandisha watumishi vyeo.


Ndug. Hamisi ametoa shukrani hizo leo Septemba 15, 2025 wakati akiongea na watumishi kutoka katika Kata sita katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa  Bishop Batenzi Hospitali ya Rufaa Nkinga  Kata ya Nkinga mjini hapa.


Amesema serikali inawapenda watumishi kwa sababu inafanya kila namna kuwapandisha vyeo.


Aidha,  amewataka watumishi kupata ushauri wa kitaalamu wanapokuwa wanakwenda kusoma kwa lengo la kusoma kitu ambacho kitakua na tija katika maisha yao ya kiutumishi.


Akiongelea kuhusu makosa ya kinidhamu,  amesema kutoroka kazini kwa siku tano, kutumia mali za ofisi, kutoheshimu viongozi, kuwa na kazi nyingine wakati wa muda wa kazi, kukataa uhamisho na  kushindwa kutekeleza majukumu ya mwajiri.


Ameongeza makosa mengine ni kushindwa  kutekeleza majukumu kwa sababu ya ulevi, kutoa siri za ofisi, kuto jali na kusababisha hasara kwa mwajiri na  kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma husabisha mtumishi kuchukuliwa hatua za kinidhamu.


Mbali na hayo, ameeleza kuhusu mfumo wa ESS  unafanya kazi vizuri na umewarahisishia watumishi wanaokaa mbali na makao makuu kupata huduma mbalimbali huko walipo bila kufunga safari.


Kwa upande wa Katibu wa  Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TAGLU)  wa mkoa huo,  Ali Nguli amewaeleza watumushi hao kuhusu  Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) upo hivyo watumishi wanapopata majanga wanapokua mahala pakazi wautumie mfuko huo.


Naye Mtumishi, Patrice Sagday ameishauri serikali iliyoanzisha mfumo wa uhamisho kutekeleza kwa sababu inadaiwa kutoona walioomba kupitia mfumo huo wakihama.


Kikao kazi kimefanyika na kuwakutanisha watumishi takribani 300 kutoka katika kata za Sungwisi, Mwamala, Ndembezi, Kitangiri, Mwisi, Nkinga na Ugaka huku ikitarajia kuendelea katika Kata nyingine za wilaya hiyo.


Aidha, Mada ya Sheria na kanuni zinazoongoza utumishi wa umma, Mfumo wa  ESS, Maadili ya utumishi wa umma ziliwasilishwa  ikiwemo Kusikiliza na kutatua kero na changamoto za Watumishi hao .

=========

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • MENEJIMENTI YAAHIDI KUENDELEA KUIPAISHA IGUNGA KATIKA KILA SEKTA

    September 13, 2025
  • MGAMBO WAASWA KUENDELEA KUWA WAZALENDO, WAADILIFU NA WAAMINIFU KWA TAIFA

    August 29, 2025
  • WAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MANONGA NA IGUNGA KUPITIA CCM WAREJESHA FOMU KWA WAKATI

    August 27, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa