• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

IGUNGA YATOA CHANJO YA SURUA ASILIMIA 96%

Tarehe iliyowekwa: April 27th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga inaungana na Halmashauri zote Nchi nzima kuadhimisha wiki ya chanjo ambayo hufanyika wiki ya mwisho ya mwezi April kila mwaka.

Katika wiki hii, idara ya afya itasimamia zoezi la uhamasishaji na utoaji wa chanjo za kawaida kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka 5 ambao hawajapata  kabisa  chanjo au walioasi kukamilisha dozi kamili za chanjo. Pia Wilaya itakabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa surua ambao umewakumba halmashauri Jirani, kwa kuwatambua wahisiwa wote na kuwaelekeza kupata huduma sahihi ya matibabu ili kuzuia mlipuko katika halmashauri yetu.

Hadi sasa, kiwango cha uchanjaji kilichofikiwa kwa Wilaya ni asilimia 96%  Tangu Mwezi Jananuari had Desemba. 2022 na kiwango cha asilimia 100% tangu Januari hadi Machi 2023 kwa chanjo ya Kifaduro, Dondakoo na Pepopunda.

Kiwango kilichofikiwa kwa chanjo ya surua ni 92% tangu Januari hadi Desemba 2022 na kiwango kilichofikiwa  tangu Januari-Machi 2023 ni asilimia 100%

Pia zoezi la utambuzi wa watoto wasiochanjwa na walioasi chanjo linaendelea kufanyika ili kuhakikisha Watoto ambao wamekosa fursa ya kupata chanjo wanapata chanjo.

Serikali kupitia Wizara ya Afya, na Mpango wa Taifa wa Chanjo (IVD) na Ofisi ya Rais TAMISEMI imekuwa ikiratibu zoezi la utoaji wa chanjo  za UVIKO-19 nchini. Hadi kufikia mwezi Machi.2023 kiwango cha uchanjaji wa chanjo ya UVIKO-19 ilikuwa ni 100% tangu ilipozinduliwa mwezi Agosti mwaka 2021.

Tumefanikiwa, Kuwafikia watoto wengi zaidi kwa kufanya uchanjaji wa kiwango cha 96% kwa chanjo ya Dondakoo, Kifaduro na Pepopunda na kiwango cha 92% kwa chanjo ya Surua kwa mwaka 2022.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • WANAWAKE WAKUMBUSHWA UMUHIMU WAO DUNIANI

    March 09, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa