• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

JOGGING PAMOJA NA MAZOEZI

Tarehe iliyowekwa: March 5th, 2023

Mhe Sauda Mtondoo ameshiriki Jogging pamoja na Mazoezi yalioandaliwa na Divisheni ya AFYA,  Lishe na Ustawi wa Jamii ikijumuisha watumishi na wananchi wote bila kujali umriwao. Baada kumaliza mazoezi hayo Mhe; Mtondoo amewataka wananchi wote wa Wilaya ya Igunga kila mmoja popote alipo awe na tabia ya kutenga muda wa kufanya Mazoezi kwani mazoezi yanamuepusha mtu na magonjwa yasiyoambukizwa. Pia alitoa raia kwa Washiriki wote wa siku hiyo 4/3/2023,kuwa kwa wale ambao huwa wanatabia ya kufanya mazoezi wawe wanawakumbusha wanaoishi nao nyumbani kwani kukinga ni rahisi kuliko kutibu.Aidha Mhe; Mkuu wa Wilaya alitoa vyeti kwa washiriki hasa wenye umri unaoazia miaka 55 na kuendelea.

Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt Lucia Kafumu,ametoa taarifa fupi baada ya kumaliza mazoezi uwanja wa sabasaba akiwaeleza washiriki umuhimu wa kufanya mazoezi kuwa ni pamoja na;

1 Mazoezi yanasaidia mwili kuchoma mafuta yote yaliyomo kwenye mwili yasiyohitajika.

2 Mazoezi yanafungua mishipa ya damu ili iweze kuruhusu damu itembee vizuri katika mwili.

3 Mazoezi yanasaindia sana kuimarisha ulinzi wa mwili ili mwili usipatwe na magonjwa yasioyakuambizwa

4 Mazoezi yanaimalisha uwezo  wa kufikili.

5 Mazoezi yanamfanya kuwa huru,furaha,uchangamfu,kwaupifi yanaondoa msongo wa mawazo.

Alimalizia kwa kusema kuwa Divisheni (Idara) ya Afya itaweka mpango mzuri wa kuhamasisha Divisheni nyingine na Vitengo mbalimbali kuweka utaratibu mzuri wa Jogging na Mazoezi kwa kila wiki mara moja.

Aliyekuwa muwakirishi wa Mkurugenzi MUSSA ABDALAH ambaye ni  Afisa UATUMISHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, amewataka Watumishi wawe na tabia ya kufanya mazoezi kama inavyoelekezwa na wataalamu wa Afya.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa