• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

KAMATI YA LISHE WILAYA YAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2025 HADI 2026

Tarehe iliyowekwa: December 23rd, 2024


MKUU wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora,Mhe. Sauda Mtondoo amewashukuru Wajumbe wa Kamati ya Lishe Wilaya kwa kuja na bajeti ambayo italeta matokeo chanya kwenye afya za wananchi.

Mhe. DC Sauda ametoa shukrani hizo Jumatatu Disemba 23, 2024 wakati wa kikao cha Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Kamati hiyo kwa mwaka wa fedha 2025 hadi 2026 kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo.

Alisisitiza kuwa bajeti walioipanga ikatoe matokea chanya kwa jamii kwa lengo la kupunguza utapiamlo, magonjwa yanayotokana na ukosefu wa lishe.

‘’Fedha hii iliyotengwa ni nyingi, hivyo hatuwezi kuzungumzia uchumi au maendeleeo kama afya zetu haziko vizuri, afya inaanzia kwenye lishe,’’ alisema DC Sauda na kuongeza kuwa:

‘’Mtu akiwa na lishe bora hata magonjwa ya hovyo hovyo yanamuepuka, hivyo tunatamani iwe jamii yenye lishe bora kwa lengo la kuhakikisha inaepukana na magonjwa na kujikita katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali.’’

Alisema hatua hiyo itasaidia kuboresha uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla, hivyo wataalamu wawe na ubinifu utakaoleta matokeo chanya.

Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Joseph Mafuru aliwashauri Wakuu wa Idara za Elimu kuyatumia maeneo ambayo yapo karibu na shule yalimwe kwa lengo la kuhakikisha chakula kinapatika na wananfunzi wanakula na kunywa uji pindi wawapo shuleni.

Naye Mkuu wa Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe, Lucia Kafumu aliwashauri Maafisa Lishe kuwa na ubunifu wa kuanzisha bustani ya lishe, kuuza maziwa na kufuga kuku.

‘’Tuendelee kuboresha mpango wetu kwa lengo la kuhakikisha unajibu changamoto kwenye mambo ya lishe,’’ amesisitiza.





Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa