• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

MAAGIZO YA DC KWA MASHIRIKA YASIYOYAKISERIKALI

Tarehe iliyowekwa: April 16th, 2024

Mhe: Sauda Mtondoo Mkuu wa Wilaya ya Igunga ameyataka Mashirika yasio ya Kiserikali kutekeleza shughuli  zao kwa kuzingatia maadili na tamaduni za Kitanzania,Kuna mmomonyoko mkubwa wa maadili  katika jamii hivyo sisi serikali tunatekeleza majukumu yetu vizuri nawasihi nanyi mkasimame imara juu ya suala la tamaduni zetu, Desturi zetu kama watanzania.Mhe; Mtondoo ameyasema hayo 15/04/2024 katika Kikao cha kuwasilisha taarifa za utekelezaji za robo za Mashirika yasio ya Kiserikali (NGOs) Wilaya ya Igunga.

 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga inaendelea kufanya kazi ya kuleta maendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wa Asasi za Kiraia na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs). 

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imeendelea kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwa jamii kwa kushirikiana na wadau wa Mashirika yasiyo ya kiserikali ambao wanaratibiwa utekelezaji wa shughuli zao chini ya dawati maalum la Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) lililopo Idara ya Maendeleo ya Jamii lililoanzishwa kupitia “Mwongozo wa Majukumu ya Maafisa Maendeleo ya Jamii” mwaka 2019.

Usimamizi wa shughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) unatekelezwa chini ya “Sera ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2001 ikiwa na Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria Na. 11 ya mwaka 2005 na Sheria Na. 3 ya mwaka 2019 na kufuatiwa na Mwongozo wa Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Tanzania Bara wa mwaka

2020’’. 

 MASHIRIKA YANAYOTEKELEZA MIRADI YAKE KATIKA WILAYA YA IGUNGA 

 

 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga ina wadau wapatao 8 ambao wanatekeleza miradi yao katika sekta mbalimbali za Maendeleo hapa wilayani. 

Katika idadi hiyo Mashirika sita (6) yanaendelea na utekelezaji wa miradi yao ambapo Mashirika manne (4) yanatekeleza miradi Afya, Mashirika mawili (2) yanatekeleza miradi Ngazi ya Jamii na Shirika moja (1) linatekeleza mradi wa msaada wa Kisheria. 

 Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yanayotekeleza miradi yake hapa wilayani yamekuwa na mchango chanya katika kuchochea maendeleo kwa jamii zetu kwa kuleta/kusogeza huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi zinazosaidia kupunguza adha na changamoto zinazozunguka jamii hizo. 

MAFANIKIO  

Katika usimamizi wake Halmashauri imeweza kufanikiwa ya fuatayo:-

a. Halmashauri imekuwa na Kanzidata ya Wadau wa Mashirika Iliyohuishwa.

Imefanikiwa kuzijengea uwezo Mashirika Mapya manne(4) na kuziwezesha kufanya usajili na moja limefanikiwa kusajiliwa na Wizara na kupata cheti na mengine yako katika hatua nzuri.  

Kupitia ushirikiano unaotolewa na Halmashauri, Wadau wameweza kufikisha baadhi ya  huduma mbalimbali ngazi ya jamii kama vile afya, elimu, msaada wa kisheria nk

Mashirika yametengeneza ajira kwa jamii kupitia shughuli zake mbalimbali.

Wadau wamepata mwitikio chanya na kuanza kutoa ushirikiano katika mambo mbalimbali mfano: Kuwwezesha Siku ya Mwanamke Duniani mwezi Machi, 2024. 

Kufanyika kwa vikao vya Wadau na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa miradi kama Mwongozo wa Mashirika yasiyo ya kiserikali unavyoelekeza.

Kuimarika kwa Mahusiano baina ya Halmashauri, Wadau wa Mashirika yanayotekeleza miradi hapa wilayani na Wawakilishi wa Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) ngazi ya Mkoa.

 

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI  WANAOENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI  WILAYANI IGUNGA.

NA.  
JINA LA SHIRIKA  
MRADI 
UNAOTEKELEZA  

 JUMLA YA 

THAMANI YA MRADI   

SEKTA 
 MFADHILI  
WANUFAIKA /WALENGWA 

1

Igunga Paralegal Center (IPC)
Upatikanaji wa Haki Kwa Jamii

  12,500,000.00 

 Sheria 

Legal Service
Facility - Tanzania
Makundi Maalum

2

Management and
Development of Health
(MDH)
 Afya Jumuishi

  1,243,000,000 

Afya 

CDC / PEPFAR
Makundi hatarishi
(AYGW) na
Makundi
Waathirika
(PLHIV)

3

Inland Development Tanzania (IDT)
 ACHIEVE

  105,592,800.00 

Afya 

United States
Agency for
International
Development
(USAID)
Watoto wanaoishi na maambukizi ya VVU/UKIMWI
umri wa miaka 017

4

Johns Hopkins
Program for
International
Education in
Gynecology and
Obstetrics (JHPIEGO)
TOHARA

 

Afya 

United States
Agency for
International
Development
(USAID)
 
USAID AFYA YANGU

 

Afya 

United States
Agency for
International
Development
(USAID)
Wajawazito na watoto wachanga , Afya ya Watoto, Lishe, Chanjo, Vijana 10-24.

5

Elizabeth Glasser
Pediatric Aids
Foundation (EGPAF)
USAID AFYA
YANGU-
NORTHERN ZONE

      78,452,656.00 

Afya

United States
Agency for
International
Development
(USAID)
Wagonjwa wa
Kifua Kikuu
MALEZI NA MAKUZI

       12,000,000.00 

Ustawi wa Jamii

Conrad Hillton Foundation
Watoto chini ya miaka 5

6

Thubutu Africa
Initiative (TAI)
USAID AFYA YANGU

90,000,000.00

(kwa mwaka) 

Jamii

USAID - JHPIEGO
Wanawake, Watoto na Vijana 10-24.

7

Nutrition
International (NI)
BRIGHT
28,137,268,500.00
(kwa miaka saba 7)
Lishe na
Afya ya
Uzazi kwa

Vijana 

 

GLOBAL AFFAIRS - CANADA
Vijana wa Miaka 10-19 waliopo shuleni na waliopo mtaani.

8

BRAC Maendeleo
UWEZESHAJI WA
WASICHAN A NA
WANAWAKE
KIJAMII NA
KIUCHUMI
 12,897,721,200.00

Jamii 

MASTERCARD FOUNDATION
 

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa