• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Mafunzo Endelevu kwa Maafisa Elimu Kata Wilaya ya Igunga

Tarehe iliyowekwa: May 14th, 2018

Bwana Remigius Halala, Mthibiti ubora wa shule Wilaya ya Igunga, amewataka maafisa elimu Kata kufuata hatua nne za mzunguko wa Mafunzo endelevu ya kukuza taaluma, wakati alipokuwa akifungua mafunzo endelevu ya Maafisa Elimu Kata katika ukumbi wa Maxwell majuzi tarehe 10.05.2018.

“ Lengo la Mafunzo endelevu ni kukuza taaluma kwa Maafisa Elimu Kata, kuinua kiwango cha utendaji kazi cha Maafisa Elimu kata nchini kote kwa kuwajengea uwezo ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi ili kuhakikisha kuna utoaji elimu bora kwenye shule za awali, msingi na sekondari” aliiongeza Bwana Remigius Halala.

Hatua hizo nne muhimu alizitaja kuwa ni kutengeneza mpango binafsi wa kujifunza, kujaza fomu ya maombi, kukubali kujisajili na mafunzo na kujaza fomu ya maendeleo ya mafunzo endelevu

Bwana Remigius Halala, aliendelea kuwafafanulia baadhi ya sifa zinazozingatiwa katika uteuzi wa Maaafisa Elimu Kata, kwa sasa kuwa ni angalau mwenye shahada ya kwanza, awe amepata mafunzo kwenye chuo kinachotambuliwa,na mwenye uzoefu usiopungua miaka mitano, mwenye utayari wa kusimamia na kutekeleza Sera ya elimu kikamilifu, mwenye uwezo wa kuwasiliana kikamilifukatika lugha ya Kiswahili na Kiingereza katika kuongea na kuandika, mwenye uwezo wa kina kuhusu eneo analolifanyia kazi na mwenye mwenendo mzuri kitabia na anayeheshimika kwa wanajamii wote.

Naye Afisa Elimu Taaluma Wilaya ya Igunga, Bwana Edgar Kulwa, aliwasisitizia Maafisa Elimu kata kubadilika kulingana na maendeleo ya TEHAMA kwani taalum, yao itaonekana bora pale watakapojipambanua na kujiendeleza kwa kujisomea, kwani utaalam wa TEHAMA utawasaidia kwenye shughuli nyingi za maendeleo ya kitaaluma na kiuchumi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa