• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Mafunzo kwa Walimu na Ma Afisa Elimu Kata kuhusu ASC na SIS Igunga

Tarehe iliyowekwa: March 31st, 2023

Wataalamu wa Seksheni ya Elimu Msingi,Sekondari,Ustawi wa Jamii na Kitengo Cha TEHAMA wameendesha mafunzo kwa ma Afisa Elimmu Kata, Walimu Wakuu wa shule za msingi, wakui wa shule sekondari,walimu wa takwimu wa shule za sekondari na msingi pamoja na  wamiliki wa vituo vya kulelea watoto mchana (Day care centers) mafunzo hayo yaliyofanyika kwa awamu nne kwa  Tarafa za Igunga,Manonga,Simbo na kuhitimishwa jana tarehe 30.3.2023 katika Tarafa ya Igurubi

Akiongea katika ufungunzi wa Mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi Ndg, JOSEPH MAFURU, aliwataka Walimu hao kujikita kwenye misingi yao ya Uadilifu, kuzingatia sheria ya takwimu,usahihi wa takwimu,ujazaji wa takwimu kwa wakati unaotakiwa na kuuliza pale utata utakapojitokeza

‘Kwa kuwa Mafunzo yanayotolewa ni kwa ajili ya kuweka Takwimu sahihi za wanafunzi pamoja na Walimu kwani ndizo zitakazoweza kusaidia katika kufanya maamuzi katika ngazi mbalimbali za Elimu’aliongeza Ndg, Joseph Mafuru kaimu Mkurugenzi

Aidha wakati wa mafunzo wawezeshaji walisisitiza juu ya kuijua sheria ya takwimu na umuhimu wa kuwa na takwimu Bora,kuyaelewa majedwali ya ulinganifu(consistency) na majedwali ya lazima kujazwa(compulsory items).Washiriki wa mafuzo waliweza kujua Majukumu ya walimu wa takwimu ,wakuu wa shule na ma Afisa elimu kata,katika ngazi zao za kiutendaji

Nao washiriki wameishumuru serikali kubuni mpango huu wa mafunzo kwa walimu kwani imewapa uelewa mkubwa katika  kutumia mifumo, pia walitoa mapendekezo ya namna ya kufanyia maboresho mfumo wa wa sensaelimu msingi kuweza kuruhusu mtumiaji kufanya kazi akiwa eneo lisilo la mtandao yaani (offline )ili kazi isikwame kwa kuzingatia maeneo yaliyo mengi hayana mtandao.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa