• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

Tarehe iliyowekwa: April 22nd, 2025

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Matiko Chacha ameendelea kuunga mkono michezo mbalimbali ikiwemo timu ya Igunga United ambayo iko mbioni kushiriki mashindano ya Mabingwa wa Mikoa jijini Arusha mwaka huu.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo, Mkuu wa Wilaya ya Igunga mkoani hapa, Mhe. Sauda Salum Mtondoo alisema Mkuu huyo wa Mkoa baada ya kupata taarifa ya timu hiyo kupata nafasi ya kushiriki mashindano hayo alifurahi na kueleza kuwa anatambua mchango wa timu hiyo.

Aidha, Mhe. DC. Sauda aliwataka wachezaji wa timu hiyo kutambua wamebeba dhamana sio tu ya wilaya hiyo lakini ya mkoa huku akiwasisitiza kufahamu michezo ni ajira na nifuraha hivyo watakapokuwa uwanjani wambuke maneno haya kwa lengo la kuwatia ari ya kupata ushindi dhidi ya timu watakazokabiliana nazo.

‘’Ndugu Wachezaji, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Paul Matiko  Chacha amtoa sh. 1.5 milioni namimi ninawaongeza sh. 300,000 katika safari yenu hii, tambueni sisi viongozi wenu tuko nyuma yenu kwa lengo la kuhakikisha ushindi unapatikana,’’ alisema.

Pia, aliongeza wao wanathamini mchango wa timu hiyo katika michezo, hivyo wamebeba dhamana ya wilaya na mkoa wakafanye bidii kwenye michezo yao yote kwa lengo la kuhakikisha wanapata ushindi.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Timu hiyo, Benard Daniel alieleza timu hiyo inauwakilisha Mkoa huo kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Mkoa huku ikiwa ni miongoni mwa timu nane bora.

Alisema wanakwenda jijini Arusha ambapo Aprili 23, 2025 wataanza mashindano hayo huku akitoa rai kwa wachezaji kuendelea kuupambania mkoa huo.

‘’Igunga United inatoka Igunga lakini kwa sasa inauwakilisha mkoa, hivyo wachezaji mnawajibu wa kuupambania mkoa kwa lengo la kuhakikisha timu inapanda daraja kutoka ligi dara la tatu kwenda daraja la kwanza,’’ alisema.

Aliweka wazi kuwa ni mashindano magumu lakini wanajiamini na wamejiandaa kupambana kulinda heshima ya viongozi wa mkoa na wilaya ambao wako bega kwa bega na timu hiyo.

Naye mchezaji wa timu hiyo, Deo Kaji alisema wamejiandaa vema kwa mashindano hayo wakiamini wanakwenda kuipandisha timu huku akiwaomba Mashabiki kuendelea kuwaunga mkono.

==== //// ==== //// ====


Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa