• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Mhe.Naibu Waziri Aongea na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Igunga

Tarehe iliyowekwa: February 20th, 2018

Mheshimiwa George Joseph Kakunda Naibu Waziri Ofisi ya Rais na Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa OR-Tamisemi, akiwa kwenye ziara ya kukagua shughuli za miradi ya maendeleo Wilayani Igunga Mkoa wa Tabora amewataka watumishi kuilezea Serikali vizuri kwa wananchi juu ya kazi zinazofanywa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya awamu ya tano kuwa ni mzalendo wa kweli anayelipenda Taifa la Tanzania hivi karibuni.

Mhe.Naibu Waziri OR-Tamisemi aliwaasa watendaji wa Serikali,watendaji wa kata na vijiji, wakuu wa shule na Walimu wakuu wote kueleza maswala mazuri yote yanayofanywa na Serikali ya awamu ya Tano. Pia aliendelea kusema watumishi ndio wajuzi wa mambo yote mazuri yanayofanywa na Serikali kwani mambo yote yanafikia Halmashuri mwananchi wa kawaida hajui ugumu wa fedha anachotaka kuona ni huduma nzuri ya maji, mtoto asome na kupata matibabu,si jukumu la Watumishi wa Serikali si  kukaa Bar na kuisema Serikali kuwa ni mbaya.

“Ukisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania eneo la madaraka ya Rais, ameteua watumishi kutekeleza baadhi ya majukumu kwa niaba yake watumishi ndio wenye jukumu la kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano kutekeleza majukumu yake” alisema Mhe.Naibu Waziri OR-Tamisemi.

Mhe. Naibu Waziri OR-Tamisemi aliwaasa watumisha kufanya kazi kwa weledi kwa kufata kanuni,taratibu na sharia za nchi na kuwataka Wakurugenzzi na Wakuu wa Idara kufanya kazi kwa ushirikiano na sio kuleta misuguano katika maeneo ya kazi kwani inakwamisha maendeleo kwa wananchi.

Aliendelea kusema tangu mwaka 1994 kuna kampuni moja ilikuwa inalipwa kila mwezi karibu bilioni saba na kununuliwa mafuta, Watanzania kupitia pesa hizo wameumia vya kutosha hivyo Mhe.Rais ameamua kuzalisha umeme wa kutosha kule Morogoro ambapo utazalishwa umeme wa megawatt 2100 ili kukuza uchumi wa viwanda.

Nae Mhe. John Gabriel Mwaipopo Mkuu wa Wilaya ya Igunga ikisoma taarifa ya ujenzi wa miundombinu ya maji na Shule kwa Mgeni Rasmi Mhe. Naibu Waziri OR-Tamisemi  alisema Mhe. Mgeni Rasmi Wilaya ya Igunga imepata fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule za sekondari kupitia Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo katika awamu mbili hadi sasa. Awamu ya kwanza tumepokea jumla ya Tshs. 316,000,000.00 zilizotumika katika ujenzi wa miundombinu ya shule mbili za Nanga na  Ziba Sekondari, katika fedha hizo Nanga  Sekondari  ilipokea  Tshs. 241,000,000.00 mnamo tarehe 05/07/2017 kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni mawili (2) kwa  Tshs. 150,000,000.00,  vyumba vya madarasa vinne (4) kwa Tshs. 80,000,000.00 na matundu ya vyoo kumi (10) kwa Tshs. 11,000,000.00. Ziba Sekondari ilipokea Tshs. 75,000,000.00 mnamo tarehe 12/09/2017 kwa ajili ya ujenzi wa bweni moja (1)

Katika awamu ya pili Wilaya ya Igunga imepokea tshs. 190,000,000.00 mnamo tarahe 29/12/2017 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule ya sekondari Ziba kwa mchanganuo ufuatao; Ujenzi wa mabweni mawili (2) kwa Tshs. 150,000,000.00, na ujenzi wa vyumba vya madarasa viwili 2 kwa Tshs. 40,000,000.00.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa