• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Mh.Mkuu wa Wilaya Igunga Akabidhi Pikipiki Saba kwa Watendaji wa Kata Wilayani Igunga

Tarehe iliyowekwa: March 1st, 2023

Mhe. Sauda Salum Mtondoo, Mkuu wa Wilaya ya Igunga amewakumbusha Watendaji wa Kata Saba waliokabidhiwa Pikipiki zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi jana tarehe 28.02.2023 katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

Mh. Mkuu wa wilaya alianza kushukuru Wizara OR Tamisemi kwa kuliona kutatua changamotoza usafiri kwa wasimamizi wa Kata, Hivyo Halmashauri inapaswa kutenga kwenye Bajeti yake ya mapato ya ndani ili kuweza kununua pikipiki tno kila Mwaka kwa kusaidia kata kumi na tisa ambazo hazijapata usifiri

Nae Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Igunag Bw.Joseph Elias Sambo, alimweleza Mgeni rasmi kuwa Halmashauri ya Wilaya ina jumla ya Kata 35 kati ya hizo kata kumi na tisa (19) hazijaweza kuwezeshwa kupata vitendea kazi

“Pikipiki zilizogawiwa kwenu leo mgao wake umezingatia vipaumbele hasa katika swala la Mapato,umbali, changamoto zinazokabili kata husika ikiwemo swala zima la migogoro hivyo menejementi imeliona hilo, hivyo waliopata pikipiki hizo wajitahidi kuvitunza” alisisitiza Mhe.Mkuu wa Wilaya Igunga

Aliendelea kusema pikipiki hizi ni  kwa ajili ya kusimamia mapato jitahidini kuhahikisha mnaenda kusimamia uongezaji wa mapato ili kuweza kusaidia wengine kuweza kupata vitendea kazi kwa bajeti ya mapato ya ndani ya Halmashauri

Aidha alimtaka Afisa mipango wa halmashauri kushirikiana na Menejimenti kufanya jitihada za makusudi katika upangaji wa Bajeti ili Kata nyingine ambazo hazijapata vitendea kazi ziweze kupata kwa kununuliwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani

Akiongea Afisa Mtendaji Kata ya Isakamaliwa Bw.Misambo Kanyelele ambaye alishukuru kwa niaba ya watendaji wezake hao saba (7) alisema anamshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  mama Samia Hassan Suluhu kwa kuwajali kwani miaka yote aliyofanya kazi hakuwahi kupata chombo cha usafiri Pamoja na Ofisi ya Rais tamisemi kwa kuwajali watumishi wa kada za chini

Mhe. Sauda Salum Mtondoo, Mkuu wa Wilaya ya Igunga amewataka viongozi wa halmashauri na menejimenti kuendelea kutoa ushirikiano katika kudumisha misingi ya kazi kwa kufata sheria, taratibu na kanununi za kiutumishi katika maeneo yao ya kiutawala.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa