• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

MKUU WA WILAYA YA IGUNGA AENDELEA NA ZIARA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Tarehe iliyowekwa: October 31st, 2023

Mkuu wa wilaya ya IGUNGA, mh. Sauda Salum Mtondoo Leo Oktoba 26 ametembelea katika kata ya Mwamashiga na kusikiliza kero za wananchi.

Akiwa katika vijiji vya Bulenya na Mwamashiga katani hapo amewaasa wananchi kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi hususani kuelekea mwanzo wa mvua za masika.

Pia amewatangazia fursa wananchi ya kupata mafunzo  ya ujasiriamali  bure yatakayo tolewa na mjasiriamali mbobezi Bi.MariaSamwel Isdory, ambapo watajifunza kutengeneza Sabuni za miche  na za maji ,Batiki, vikapu na vingine vingi jambo litakalo wasaidia kuongeza kipato katika familia zao badala ya kutegemea kilimo kama chanzo pekee cha kipato.

Aidha katika kuelekea mwaka  mpya wa masomo2024/2025 amewataka wazazi  kuwaandikisha elimu ya awali watoto wote wenye umri wa kuanzia miaka minne  huku wale wenye umri wa kuanzia  miaka saba waandikishwe darasa la kwanza.

Katika hatua nyingine amewakumbusha wakulima wa zao la pamba kuhakikisha Wanasafisha mashamba yao kwa kuchoma moto masalia ya miti ya pamba ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya.

Ameeleza kua kitalu cha kuzalisha mbegu za pamba kipo katika wilaya hii hivyo wasiichezee fursa hiyo muhimu na kuongeza ufanisi ili kuendelea kua na vigezo vya kitalu hicho kusalia hapa kisipelekwe sehemu nyingine.

Mwisho amewahakikishia serikali ya awamu ya sita chini ya Raisi Daktari Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza ilani ya chama kwa kuendelea kutenga fedha nyingi za maendeleo katika maeneo ya Igunga hivyo hawana budi kuiunga mkono serikali.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MAJIMBO YA MANONGA NA IGUNGA AGAWA FOMU WANAOTARAJIA KUGOMBEA UBUNGE IGUNGA

    August 15, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MAJIMBO YA MANONGA NA IGUNGA AGAWA FOMU WANAOTARAJIA KUGOMBEA UBUNGE

    August 15, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKIA KHERI WATUMISHI KUSHIRIKI SHIMISEMITA JIJIJNI TANGA

    August 15, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUTUMIA KANUNI, SHERIA, TARATIBU NA MIONGOZO KUFANIKISHA UCHAGUZI MKUU 2025

    August 05, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa