• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Mwenge wa Uhuru 2018 Igunga

Tarehe iliyowekwa: May 5th, 2018

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Gabriel John Mwaipopo, amesema  Mwenge wa uhuru 2018 Wilayani Igunga utatembelea miradi ipatayo mitano (5) kutoka Sekta za Elimu, Miundombinu ya barabara na Sekta Binafsi yenye thamani ya Tsh. 1,414,987,099/= alipokuwa akipokea Mwenge huo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mheshimiwa Godfrey Ngupula, katika Viwanja vya Ziba hivi karibuni.

 “ Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 unatarajiwa kukimbizwa kilometa 138.4, katika Wilaya ya Igunga na utazindua Miradi mitano (5) yenye thamani ya shilingi bilioni moja milioni mia nne kumi na nne laki tisa themanini na saba elfu na tisini na tisa tu. Tsh.1, 414,987,099/=. Aidha mchanganuo wa uchangiaji wa fedha za miradi hii ni kama ifuatavyo: mchango wa Serikali Kuu ni Tsh. 512,068,099/= mchango wa Nguvu za Wananchi kupitia sekta binafsi ni Tsh. 902,919,000 /=” alisema Mhe, Gabriel J. Mwaipopo.

Aliendelea kusema Ndugu Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Mwenge wa Uhuru wilayani Igunga utakimbizwa kwenye Tarafa mbili za Manonga na Igunga na katika Kata saba za Ziba, Ibologero, Nyandekwa, Nanga, Igunga, Ugaka na Nkinga.

 Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu 2018 ambao unaojikita katika kuwahamasisha Watanzania kuwekeza katika elimu chini ya Kauli Mbiu isemayo: “Elimu ni Ufunguo wa Maisha;  Wekeza Sasa kwa Maendeleo ya Taifa letu”, Wilaya yetu ya Igunga inaunga mkono kwa vitendo dhamira na juhudi hizi  za Serikali ya Awamu ya Tano ya kuboresha elimu katika ngazi zote Nchini kuanzia elimu ya awali hadi Chuo Kikuu.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa