• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

MWENYEKITI MTEULE ATOA DIRA KUIONGZA HALMASHURI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

Tarehe iliyowekwa: December 5th, 2025

MWENYEKITI Mteule wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Mhe. Shabani  Hemed ameahidi kuiongoza Halmashauri hiyo kwa kasi itakayoiwezesha kukua katika nyanja ya uchumi, afya na huduma nyingine za jamii.


Mhe. Shaban ameyasema hayo Al hamisi Disemba 04, 2025 wakati wa Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo mjini hapa.


"Ni wajibu wetu kushirikiana na wataalamu  kuhakikisha tunatatua kila aina ya changamoto ikiwemo kusimamia miradi ya maendeleo," amesema


Aidha, amewahamasisha Madiwani kwenda kusimamia na kuongeza ufanisi wa kukusanya mapato, kuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za umma huku akikemea wanaodaiwa kufuja, kuiba na kufanya ubadhirifu kuacha mara moja.


Pia, amewaomba kutoingia mikataba mibovu, na kuwa na mipango ya kuongeza kuzalisha mali katika kilimo, mifugo, viwanda, madini na biashara.


Katika hatua nyingine, Shabaan amewataka Madiwani hao kuwa mabalozi wa amani katika kata zao ikiwemo kuwaelimisha vijana, wazee na watoto wao kuwa amani ndio msingi wa maendeleo.


Awali akiwasilisha taarifa ya kumbukumbu  ya maamuzi na utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo, Kaimu Mkurugenzi, John Tesha amesema katika mwaka wa fedha 2025 hadi 2926 Halmashauri imekusudia kutumia sh 57.3 bilioni ambapo hadi kufika Novemba 30, imekwishatumia sh. 18.8 bilioni sawa na asilimia 31.


Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Manonga wilayani hapa, Mhe. Abubakar Alli amewataka Madiwani hao kutofanya kazi kwa mazoea badala yake wafanye kazi kwa kasi na kujituma kwa sababu wananchi wananchi wanataka matokeo ya suluhisho la matatizo yao na sio sababu.

Naye Mbunge wa Jimbo la Igunga, Mhe. Charles Kabeho ameeleza kuwa ataendelea kutoa ushirikiano kwa lengo la kuhakikisha wanafanya kazi ambazo Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amezikusudia katika wilaya hiyo.


Akizungumza katika Baraza hilo, Diwani wa Kata ya Bukoko, Jidashema Mwandu amewapongeza viongozi wa Halmashauri kwa kukusanya mapato ambayo yamevuka malengo.

============



Matangazo

  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MWENYEKITI MTEULE ATOA DIRA KUIONGZA HALMASHURI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

    December 05, 2025
  • HAMISI ANENA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU YAMEKAMILIKA IGUNGA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

    October 27, 2025
  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa