• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Taratibu za Uhawilishaji Fedha TASAF III

Tarehe iliyowekwa: February 16th, 2018

Afisa ufatiliaji wa mpango wa TASAF awamu ya tatu katika Wilaya ya Igunga na Nzega Bi.Zahara Omary Mbailwa amewaagiza maafisa Watendaji wa vijiji 54 vinavyonufaika na Mradi wa TASAF III kuwa makini katika kuhakiki taarifa za utimizaji masharti yay a elimu na afya, na kuunganisha orodha ya malipo na namba ya mlengwa wa kaya.

Bi. Zahara Omary Mbailwa ameyasema hayo katika kikao kilichowajumuisha Mratibu wa TASAF III Wilaya ya Igunga na watendaji wa vijiji vinavyonufaika na mradi,kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga hivi karibuni.

Afisa ufuatiliaji wa mpango wa TASAF iii ameeleza kuwa lengo la kikao hicho ni kutoa ufafanuzi juu ya vipaumbele vya wanufaika wa mradi wa TASAF awamu ya III na kuwakumbusha watendaji namna ya kuwabaini walengwa ili kuepuka utaratibu mbaya uliojitokeza katika Halmashauri nyingine.

Bi.Mbailwa pia amewatahadharisha watendaji wa vijiji pamoja na wawezeshaji ngazi ya Wilaya kuwa makini pamoja na watoto juu ya utimizaji wa masharti ili kuweza kusaidia Serikali kutopoteza fedha kwa kaya ambazo hazina vigezo.

Jumla ya tarafa nne zenye Kata 35 na vijiji 54 kati ya vijiji 119 katika Halmashauri ya Wilaya ya Igunga vinavyonufaika na Mradi wa TASAF awamu ya III.

Matangazo

  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MWENYEKITI MTEULE ATOA DIRA KUIONGZA HALMASHURI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

    December 05, 2025
  • HAMISI ANENA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU YAMEKAMILIKA IGUNGA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

    October 27, 2025
  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa