• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

WACHIMBAJI MADINI IGURUBI WAPEWA ELIMU KUHUSU TOZO ZA HALMASHAURI

Tarehe iliyowekwa: August 27th, 2025

MWAKILISHI wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Jasper Tito amewaomba wachimbaji hao kupokea ujumbe wa tozo walioelezwa.

Tito ametoa ombi hilo Agosti 26, 2025 wakati akiongea na Wachimbaji wa kijiji cha Igurubi wilayani hapa.

"Niwaombe pokeeni tozo hizi na maoni yenu tumeyachukua, hivyo tutayafanyia kazi," ameeleza.

Akizungumza katika mkutano huo, Ofisa Maliasili na Mazingira, Emmanuel Mnanka amewahakikishia wachimbaji hao kuwa wataendelea kulifuatilia kwa viongozi wao, hivyo wanaweza kupata soko la kuchomea na kuuza dhahabu.

Aidha, akiongelea kuhusu tozo Mnanka amesema  tozo hizo zikikusanywa zitaendelea kuboresha miundombinu mbalimbali itakayoendelea kuwanufaisha wananchi .

Kwa upande wa Mchimbaji, Emmanuel Banturaki amesema tozo mbalimbali zitokanazo na madini zinalipwa.

"Mwalo na Karasha ni vitendea kazi vyetu katika uchimbaji wa madini  kwanini vitozwe kodi ?," amehoji.

Naye Jagadi Masunga amesema serikali kubuni vyanzo vya mapato  sio vibaya, hivyo ameomba Wataalamu warudi waangalie upya vyanzo hivyo kwa sababu  wachimbaji  wanakata mitaji na kurudi  kwao kwa sababu kuna hasara wanaipata.

Mayunga Kwilasa ameiomba  serikali iendelee kukaa na wachimbaji kwa lengo la  kuelewa changamoto zao watabaini changamoto wanazozipitia na kuwapunguzia huo mzigo wa kodi.

"Ni kweli nchi inaendeshwa kwa tozo na kodi, hivyo serikali iendelee kutuwezesha tukizalisha zaidi hakuna mtu atakaepinga kutoa kodi na tozo," ameshauri.

Naye Magese Balele amesema wanaomba wapate soko badala ya kwenda kuuza dhahabu Nzega wauze Igunga.

"Jengeni sehemu za kuchomea dhahabu Igunga kwa lengo la kuhakikisha fedha tunazozipata tunazitumia Igunga nasio Nzega," amesema.
====== //// ======

Matangazo

  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MWENYEKITI MTEULE ATOA DIRA KUIONGZA HALMASHURI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

    December 05, 2025
  • HAMISI ANENA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU YAMEKAMILIKA IGUNGA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

    October 27, 2025
  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa