• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Walimu wa Hisabati Igunga Wapatiwa Mafunzo

Tarehe iliyowekwa: November 8th, 2018

Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Igunga Bibi Dora Stephen Simbachawene, amewataka  walimu wa hisabati  wa darasa la kwanza na la pili, kufata maelekezo waliyopewa na wakufunzi na  yaliyopo kwenye moduli  ya mwalimu ya 10 hadi 13, akifungua mafunzo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Igunga kwa walimu wa hisabati katika shule ya msingi chipukizi na igunga zilizopo mjini Igunga hivi karibuni.

Bibi Dora amesema mafunzo haya yatasaidia kuwapa umahiri walimu wa hisabati wa darasa la kwanza na darasa la pili wa shule za Serikali 133, pamoja na walimu waratibu wa mafunzo 133 kutoka shule zote za Serikali, ambao wamefikia jumla ya 226 katika mafunzo haya.

“Mafunzo yatasaidia wanafunzi kujua kusoma, kuandika na kuhesabu KKK, ili kufanikisha kufuta madarasa ya KKK katika halmashauri ya Wilaya ya Igunga” alisema Bibi Dora Stephen Simbachawene, Afisa Elimu msingi Wilaya ya Igunga.

“Mafunzo haya ni mwendelezo wa moduli ya kwanza hadi ya tisa ambazo zilishafundishwa na kumwezesha mwalimu kufundisha, mafunzo hayo yanakamilisha mahiri hizo za kuandika, kusoma na kuhesabu” aliongeza Bibi Martha Bayo Mratibu wa Mradi wa EQUIP-Tanzania Wilaya ya Igunga.

“Walimu wamefundishwa mbinu za kufundisha kuhesabu ambapo ndani yake kuna kuandika, kusoma na kuhesabu KKK , mratibu wa mafunzo ataandaa mafunzo kwa walimu wote ili kuwajengea uwezo wa kufundisha mahiri hizo bila kuangalia mwalimu huyo ni wa darasa la saba”aliongeza bwana Edger Kulwa, Afisa Elimu taaluma Wilaya ya Igunga.

Katika kuongenza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji, taasisi ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na EQUIP-Tanzania, wameandaa moduli ambazo zimesheheni mbinu mbalimbali za ufanisi za ufundishaji na ujifunzaji.

Mwalimu Henry Munkizi shule ya Msingi Bugayambelele Kata ya Choma, amekiri kuwa mafunzo yamewezesha kunijengea uwezo wa kuwa mahiri katika kufundisha soma la hisabati na nitajitahidi kuwa chachu ya kufikisha mbinu mpya za kufundisha somo la hisabati kwa darasa la I na darasa la II.

Naye Mwalimu Mariam Stuwat Mratibu wa mafunzo shule ya Msingi Iborogelo kata ya Iborogelo, amekubali kuwa mafunzo haya yamekuwa chanchu kwa walimu na waratibu wa mafunzo katika Wilaya ya Igunga na yatawezesha kuongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji kwa somo la hisabati darasa la I na darasa la pili.

Vile vile moduli inatoa mafunzo ya ziada ikitarajiwa kuwa walimu watakuwa wamekwishapata mafunzo kabilishi ya utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa wa kuimarisha ufundishaji kusoma, kuandika na kuhesabu KKK kwa wanafunzi wa darasa la I na darasa la pili katika Wilaya ya Igunga.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa