• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Wananchi wafurahia Mradi wa Maji Kijiji cha Isenegeja

Tarehe iliyowekwa: March 4th, 2018

Mhandisi wa maji Wilaya ya Igunga, Mhandisi Christopher Saguda amewataka kamati ya maji kijiji cha Isenegeja, mtendaji wa kijiji na kata kufanya kazi kwa ushirikiano na kujituma katika usimamizi wa mradi wa maji unaojengwa kijijini hapo alipotembelea kukagua maendeleo hivi karibuni.

Mhadisi aliwaeleza wanakamati hao kampuni inayotekeleza Mradi huo ni MONMAR & SONS Co.Ltd ya Mkoani Tabora, Mradi huo unaitwa Isenegeja Water Supply Scheme na utagharimu kiasi cha Tsh.300.526,240.6 milioni.

“Msiposhirikiana ipasavyo mradi huu hamtajua unaendeshwa je? na mtashindwa kuwaeleza wananchi waliowachagua jinsi mlivyoshiriki kusimamia” alisema Mhadisi Christopher Saguda.

Wananchi wa kijiji cha Isenegeja, shule ya Sekondari mwisi pamoja na majirani zao kijiji cha Kalemela watafaidika na mradi huo wa maji ambao unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi wa tatu 2018. Pia wananchi wamefurahishwa na kusema wako tayari kulinda miundombinu itakayowekwa kwa manufaa ya kijiji na kizazi kijacho.

Pia mradi utakuwa na tenki la kutunza maji la lita elfu sitini (60000), ambalo litakuwa na urefu wa mita 9, litawekewa javi la mita 3.18. Katika shule ya Sekondari Mwisi litawekwa tenki la Polytank la lita elfu kumi (10000), litakalosambaza maji katika bweni la wasichana na wavulana.  

Matangazo

  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MWENYEKITI MTEULE ATOA DIRA KUIONGZA HALMASHURI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

    December 05, 2025
  • HAMISI ANENA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU YAMEKAMILIKA IGUNGA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

    October 27, 2025
  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa