• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2025

WASIMAMIZI 2,184 wa uchaguzi Mkuu ngazi ya vituo katika  jimbo la Manonga na Igunga mkoani Tabora wametakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi unaozingatia taribu na maelekezo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.


Wito huo umetolewa leo Jumapili Oktoba 26, 2025 wakati wa mafunzo elekezi kwa Wasimamizi wakuu na Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura katika wilaya hiyo.


Akizungumza katika mafunzo hayo, Msimamizi wa majimbo hayo, Ndug. Hamisi H. Hamisi amefafanua  kuwa Wasimamizi Wakuu  ni 728 huku

Wasimamizi wasaidizi wakiwa 1,456.


Aidha,  wasimamizi hao, wamejifunza majukumu ya watendaji wa vituo, Utaratibu wa kupiga kura na mambo muhimu ya kuzingatiwa kabla, wakati na baada ya kupiga kura, kufunga Kituturu, Sanduku la kura kwa kutumia lakiri na  wanaoruhusiwa kupiga kura katika kituo.


Aidha, Mada nyingine ni utaratibu wa kuhesabu kura na makabidhiano ya vifaa na fomu.


Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa zimesalia siku tatu wananchi watimize haki yao ya kikatiba ya kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano.

==================

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • HAMISI ANENA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU YAMEKAMILIKA IGUNGA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI UCHAGUZI MKUU NGAZI YA VITUO WAKO TAYARI

    October 27, 2025
  • IDARA YA UTAWA IGUNGA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 15, 2025
  • MENEJIMENTI YAAHIDI KUENDELEA KUIPAISHA IGUNGA KATIKA KILA SEKTA

    September 13, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa