• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

WATAALAMU WA AFYA IGUNGA WAJIPANGA KUENDELEA KUFANYA VEMA AFUA YA CHANJO

Tarehe iliyowekwa: January 22nd, 2025

KAIMU Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Joseph Mafuru amewataka Watumishi wa Afya kuendelea na zoezi la kuchanja kupitia huduma Mkoba kwa lengo la kuhakikisha wanafikia malengo ambayo waliyojipangia.

Mafuru ametoa wito huo wakati wa Kikao cha tathmini ya chanjo kwa watoa huduma za Chanjo wa wilaya hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hospitali ya Rufaa Nkinga mjini hapa.

Aidha, aliwahimiza kuendelea kuchukua taarifa za majukumu yao ikiwemo zoezi la chanjo na kudhihifadhi kwa lengo la kuepukana na madhara yanayoweza kujitokeza ikiwemo kutoa ripoti iliyochini ya hitajio ikiwa watakuwa na utaratibu wakutohifadhi taarifa zao.

‘’Ni lazima tuwe na matumizi sahihi ya fedha za chanjo ambazo zinamiongozo yake nakutotumia kwa matumizi mengine ikiwemo kununua umeme jambo ambalo linaweza kusababisha hoja,’’ alisema.

Katika hatua nyingine, Mafuru aliwasisitiza kuhakikisha wanapeleka fedha benki kwa kuzingatia miongozo iliyopo kwa lengo la kuepuka kutumia fedha mbichi.

Mkuu wa Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe, Lucia Kafumu aliwataka Watumishi hao kuwashirikisha Watendaji  Wakata (WEO), Watendaji wa Vijiji (VEO), Waganga wa Tiba Asili ikiwemo kuhudhuria vikao vya Wazazi  kwa lengo la kufikisha taarifa mbalimbali zikiwemo za chanjo.


Akizungumza katika kikao hicho Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Halmashauri hiyo (DIA), David Bakilile aliwaeleza kuwa ukaguzi wa kipindi cha nyuma uko tofauti na wa hivi sasa kwa sababu ni shirikishi na wanatoa elimu kisha ndio wanakuja kuwakagua.

Kwa upande wa Mwekahazina wa Halmashauri, hiyo Mpakani Kalinga aliwahimiza kuendelea kufuata taratibu za matumizi sahihi ya fedha ikiwemo utoaji wa taarifa.

‘’Sisi Wahasibu tunawategemea kuhakiksha kanuni na taratibu za fedha zinafuatwa katika vituo na Zahanati ambazo mnazisimamia, hivyo tutaendelea kuwapa mafunzo ya marara kwa mara kwa lengo la kuwanoa muwe imara kwenye usimamizi wa fedha,’’ alisema.

Naye Kaimu Mwenyekiti wa Wakuu wa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya wa wilaya hiyo, Ramadhan Murad alishukuru uwepo wa viongozi wao ambao unazidi kuwahamasisha kuendelea kufanya vema ikiwemo Huduma Mkoba.

==== //// ==== //// ==== //// =====



Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • WANAWAKE WAKUMBUSHWA UMUHIMU WAO DUNIANI

    March 09, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa