• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Watendaji wa Kata na Vijiji Wafundwa Igunga

Tarehe iliyowekwa: June 6th, 2019

Mkurugenzi  Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Bwana Revocatus L.K.Kuuli amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kufata taratibu,kanuni,sheria  na miongozo ya usimamia wa fedha za Serikali wakati wa kukusanya mapato ya Halmashauri kupitia mashine za PoS pamoja na kusimamia ipasavyo miradi ya maendeeo inayotekelezwa kwenye maeneo yao ya utawala hasa ile ya elimu na afya alipokuwa akizungumza nao katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Igunga hivi karibuni

Ameendelea kuwakumbusha kuwa watendaji wanatakiwa kujua majukumu yao katika maeneo yao ya utawala,pia amewakumbusha kuendelea kupita kwenye miradi hiyo ili kujiridhisha na kazi zinazoendelea hasa kujiridhisha vifaa vilivyonunuliwa.

‘‘Timizeni wajibu wenu,linda heshima ya kazi yako,wewe ndo kiongozi wa eneo lako la kata, simamia ukusanyaji wa mapato kwa kutumia mashine ya (PoS)Point of sales’’ameongeza Bwana Revocatus Kuuli, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Igunga

 ‘‘Leo mmesaini makubaliano haya ambao ndio Mkataba huu unamashsrti tisa kati ya Mwajiri na ninyi Watendaji, najua hizo ni hoja tisa kama hautatekeleza ipasavyo,kanuni zile zile za usimamizi wa fedha za vitabu vya HW5 ndizo hizo zitakazotumika kwangu mimi kama mkaguzi wa ndani nitasimama katika makubaliano haya kama umeyatekeleza ipasavyo, kama utakuwa umeyakiuka taratibu,kanuni,sheria na miongozo ya usimamizi wa fedha utawajibika kwayo’’aliongeza Mkaguzi wa hesabu za ndani Bwana Abdallah Habibu Mbuyu.

 Mhasibu wa Mapato amewaasa watendaji wa kata na vijiji mnawajibu wa kukusanya mapato ya Halmashauri kwani Mapato ya Halmashauri yanatokna na mapato yanayopatikana kwenye vijiji na kata zenu.Hii ni kutokana na maagizo ya Serikali ya kuondokana na vitabu vya HW5,  mapato yote yanatakiwa kukusanywa kwa mashine isipokuwa mapato mengineyo ya shughuli za maendeleo kwenye Kata zenu.

‘‘Nawataka mjitahidi kuwa waadilifu,kujituma na kujituma najua mnamajukumu mengi na mtapimwa kutokana na ukusanyaji wa mapato kwani maamuzi mengine ya vikao vya madiwani watakuwa wanakuja na hizi taarifa pia  vitabu vyote  vya HW5 ambavyo havitumiki kwenye  makusanyo ya pesa za miradi ya maendeleo kama unavyo virudisheni usije ukapoteza kazi yako’’ameongeza Bwana Nchanana Balele Mhasibu wa mapato Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

Pia kwenye maeneo yenu ya kazi kuna matangazo mbalimbali yanatangazwa kwenye kata zenu, matangazo yanatakiwa kuwa na vibali hivyo jitahidi kuona vibali pia wawe na stakabadhi ya mashine.

Imetolewa na Kitengo chaTEHAMA

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

03.06.2019

 

 

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa