• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

ZIARA YA MKUU WA MKOA WILAYANI IGUNGA 14/07/2023

Tarehe iliyowekwa: July 17th, 2023

MKuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Buriani, amesema Mkoa wa Tabora umepokea Jumla ya shilingi Billion 46 na Milioni 200  kwa ajili ya kujenga Shule 12 katika Wilaya za Mkoa wa Tabora zenye Madarasa ya kuanzia awali hadi Darasa saba (7) Madarasa yenye mikondo miwili miwili kwa hiyo Shule hizo zitakuwa na jumla ya Vyumba vya kusomea 16 kila Shule.

Pia Dkt Buriani amesema kwa upande wa Sekondari Mkoa umepata fedha za kujenga Shule 12 mpya za Sekondari zenye kidato cha kwanza hadi cha nne (4), na Shule moja ya Bweni ya  Umahiri ya Sayansi kwa Wasichana inayojengwa Wilaya ya Kaliua.

Mkuu wa Mkoa alieleza mafanikio makubwa sana ya ufaulu wa matokeo ya Kidato cha sita (6) 2023, kuwa wanafunzi wote waliofanya Mtihani wa Kidato cha 6 Mkoa wa Tabora wamefaulu kwa asilimia 99.99, lakini kipekee Dkt Buriani ameipongeza Halmashauri ya Igunga kuwa na asilimia 75 ya ufaulu wa Daraja la kwanza kiwilaya na kwamba Wilaya ya Igunga hakuna ufaulu wa daraja la nne (4). Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo  katika Shule ya Sekondari Mwisi wakati akihitimisha  ziara yake ya kukagua Miradi ya maendeleo Wilayani Igunga 14/07/2023.

Aidha Mkuu wa Mkoa alitoa idadi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha 5 Mkoa wa Tabora kuwa Mwaka jana 2022 walikuwa Elfu mbili na Mia nane tu (2,800), lakini mwaka huu 2023 watakao anza kidato cha 5 ni Elfu sita na kumi na nne (6,014) kuwa ni ongezeko kubwa linalotokana na Matunda ya Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Mhe; Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya Elimu.

Baada ya kuhitimisha maelezo yake Mkuu wa Mkoa alitoa Maagizo ya Mkoa katika wilaya zake kuwa Kila Halmashauri ihakikishe watoto wote wanaoanza darasa la kwanza wanamaliza darasa la saba (7) kusiwe na mdondoko wa wanafunzi kuishia madarasa ya katikati.Pia aliagiza kila Mzazi achangie chakula cha watoto Shuleni, Serikali za vijiji ndio zitasimamia chakula cha watoto Shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WATAKAOWEKA UCHAFU KWENYE PAMBA

    April 22, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZOTE KARIBU YAO IGUNGA

    March 12, 2025
  • WANAWAKE WAKUMBUSHWA UMUHIMU WAO DUNIANI

    March 09, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa