Tarehe iliyowekwa: August 27th, 2025
MWAKILISHI wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Jasper Tito amewaomba wachimbaji hao kupokea ujumbe wa tozo walioelezwa.
Tito ametoa ombi hilo Agosti 26, 2025 ...
Tarehe iliyowekwa: August 25th, 2025
MRAKIBU Mwandamizi wa Jeshi la Magereza wa Wilaya ya Igunga mkaoni Tabora, Kaganyero Kegori amewaongoza askari wa jeshi hilo kuchangia damu zaidi ya chupa 13 katika Hospitali ya wilaya hiyo.
...
Tarehe iliyowekwa: August 25th, 2025
MSIMAMIZI wa Uchaguzi wa Majimbo ya Igunga na Manonga wilayani Igunga mkoani Tabora, Ndug. Hamisi H. Hamisi amewakabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Igunga na Manonga wagombea wa chama cha CHAUMA...