Tarehe iliyowekwa: August 15th, 2025
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Bi. Selwa Abdalla Hamid amewaasa Watumishi wanaokwenda kushiriki michezo iliyoandaliwa na Shirikisho la Michezo Serikali za Mitaa ...
Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2025
MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Igunga na Manonga, Ndug. Hamisi H. Hamisi amewaasa Wasimamizi Wasaidizi ngazi ya kata kuendeleza utendaji wao wa kiuadilifu, uaminifu, uzalendo, uchapakazi na uaminifu.
...
Tarehe iliyowekwa: March 15th, 2025
Na HEMEDI MUNGA
Pamba! Dhahabu Nyeupe. Hivyo ndivyo wanavyoamini wakulima na viongozi wanaosimamia zao hilo Wilaya ya Igunga mkoa wa Tabora kutokana na mafanikio lukuki ambayo Halmashauri hiyo imey...