Tarehe iliyowekwa: February 12th, 2025
UTEKELEZAJI na usimamizi sahihi wa Mradi wa Huduma za Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (SRWSS) umeiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora kushika nafasi ya kwanza kati ya Halmashauri...
Tarehe iliyowekwa: February 5th, 2025
MAENDELEO ya Sayansi na Teknolojia yanayoendelea kutekelezwa nchini hususan katika kutumia mifumo mbalimbali kutekeleza majukumu yamewaibua Watendaji wa Kata na Vijiji wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabor...
Tarehe iliyowekwa: February 3rd, 2025
BAADHI ya Viongozi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wametoa mafunzo ya uraia na utawala bora kwa viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora.
Viongozi hao wametoa mafunzo ...