• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Care International Tanzania Wapongezwa Kwa Cheti

Tarehe iliyowekwa: January 9th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Ndugu Revocatus L.K. Kuuli, amewapongeza Shirika la Care Tanzania kupitia Mradi wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives), kwa huduma waliyoitoa ya vifaa tiba pamoja na vitanda kwa Halmashuri ya Wilaya ya Igunga, katika kikao cha kamati ya Fedha kilichoketi jana tarehe 08.01.2019, katika ukumbi wa Halmashuri ya Wilaya ya Igunga.

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Mheshimiwa Peter Onesmo Maloda, aliendelea kuwasisitiza ushirikiano na taasisi zinazotuzunguka kwani zinasaidia halmashauri yetu katika nyanja mbalimbali.

“Halmashauri ya Wilaya ya Igunga tunayo furaha kubwa kwa heshima iliyoonyeshwa na Care Tanzania, chini ya mradi wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives). Bi.Catherine Mathias ambaye ni mwakilishi hapa Igunga alitukabidhi vifaa vyenye thamani ya Tsh.88, 535,600.00, leo kwa kutambua umuhimu wao tunamtunuku cheti cha kutambua mchango wa Care Tanzania kwa halmashauri yetu hii” aliongenza Bwana Revocatus L.K.Kuuli Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Igunga.

Naye Mwakilishi wa Care International Tanzania Wilaya ya Igunga Bi.Catherine aliwashukuru wajumbe wa kamati ya Fedha kwa ukaribisho wao, akaomba kufanya nao kazi bega kwa bega ili kuendelea kuimalisha utoaji wa huduma za Afya Wilayani Igunga.

Care International Tanzania chini ya Mradi wake wa TAMANI (Tabora Maternal and New born Initiatives), Shirika la Care kupitia mradi wake wa TAMANI umelenga kuchangia jitihada za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, kwa kuboresha upatikanaji wa hiduma bora za afya kwa wajawazito, watoto, wanawake na familia zao.Utekelezaji wa mradi unafanyika katika zahanati 46, kata 33 na vijiji 64 wilayani Igunga.

Mkurugrenzi amemaliza kwa kuwaomba Care International Tanzania kuendelea kusaidia pale watakapo pata vifaa vingine ili kuendelea kuboresha huduma ya Afya Wilayani Igunga kwani Halmashauri peke yake na Serikali haiwezi kutimiliza mahitaji yote kwa wananchi wa Wilaya ya Igunga katika utoaji wa huduma za afya.

Imetolewa na

Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa