• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

Uchaguzi

Kitengo cha Uchaguzi ni mojawapo ya Vitengo sita (6) vilivyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kikiwa na jukumu la kutekeleza dhana ya Utawala bora na demokrasia kwa wananchi ndani ya Wilaya.


Madhumuni ya kuanzishwa kwa Kitengo hiki ni kumsaidia Mkurugenzi wa Halmashauri kuratibu shughuli zote za uchaguzi kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI).

Ili kutekeleza wajibu wake kwa ufanisi Kitengo kinaongozwa na Taratibu za uchaguzi zilizoainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Ibara ya 74 na 76. Tararatibu hizi pia zimefafanunuliwa kwenye sheria ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343). Na Sheria ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Na. 4 ya mwaka 1979 (sura ya 292), Na.7 ya mwaka 1982 (sura ya 287)


Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sura ya 21, kila raia/mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 18 anayo haki ya kushiriki na kutoa maamuzi yoyote yahusuyo uendeshaji wa nchi likiwemo suala la kuchagua viongozi , au kuchaguliwa. Kwa kuwa Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi, kazi kubwa ya kitengo hiki chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ni kuhakikisha wananchi wa Wilaya ya Igunga wanapata fursa za kushiriki chaguzi za ngazi zote kwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa.

Kitengo kina majukuu yafuatayo

  1. Kusimamia uandikishaji wa wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura
  2. Kusimamia chaguzi katika ngazi zote (Rais, Wabunge, Madiwani na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa)
  3. Kuhakiki Mipaka ya Majimbo, Kata na Mitaa kabla ya uchaguzi
  4. Kutoa Elimu ya Mpiga kura kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  5. Kuandaa Taarifa za Uchaguzi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA BULYASHIRI LINALOMILIKIWA NA H/W IGUNGA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI IGUNGA DC September 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MAALUMU YA KUKUSANYA USHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA IGUNGA August 24, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 24, 2020
  • View All

Habari Mpya

  • MAELEKEZO YA MKUU WA WILAYA KWA WEOS/VEOS

    November 29, 2023
  • USIMAMIZI WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) YA KIPINDI CHA ROBO YA JULAI-SEPTEMBA , 2023

    November 13, 2023
  • MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA KUTOKANA NA MVUA ZA ELNINO ZINAZOTARAJIWA MSIMU HUU WA 2023/2024.

    November 09, 2023
  • MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA KUTOKANA NA MVUA ZA ELNINO ZINAZOTARAJIWA MSIMU HUU WA 2023/2024.

    November 09, 2023
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa