• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

SERIKALI YAWANUFAISHA WAKULIMA IGUNGA

Tarehe iliyowekwa: February 11th, 2026

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Mhe. Shabani Hemed amewataka vijana waliopewa Pawatila za Halmashauri kuziendesha kwa uaminifu jambo ambalo linatafsiri utu na kazi vinavyotekelezwa na Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa vijana nchini.

Mhe. Hemed  ametoa wito huo Jumanne Februari 10, 2025 katika viwanja vya Halmashauri hiyo wakati akikabidhi Pawatila Sita zilizoletwa na serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa lengo la kuendelea kutuoa huduma kwa wananchi.


"Nendeni mkawe waadilifu kwa sababu  sisi Halmashauri hatufanyi biashara ispokua kazi yetu ni kuhakikisha tunawahudumia wananchi, hivyo nilazima muwe na utu wa kutunza hizi zana," amesema na kuongeza kuwa:


"kafanyieni kazi ziwasaidie nyinyi na jamii inayowazunguka na kwa jambo hili tunamshukuru Mhe. Rais Dk.  Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea hizi zana."


Katika hatua nyingine, Mhe. Hemed amewahimiza vijana waje wakope fedha kwa lengo la kuwawezesha kuendesha mashamba yao wakati wakiendesha  Pawatila hizo.


"Ndugu zangu vijana serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeleta mikopo hii kwa lengo la kuwawezesha vijana, hivyo msisubiri muda ukaisha mkaanza kulalamika sio jambo jema, njooni mkope mkalime kwa tija," ametoa wito.


Akizungumza katika makabidhiano hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Bi. Selwa Hamid amewasihi waendeshaji hao kuwa waaminifu na  kutofanya ubadhirifu au upendeleo katika kutoka huduma.


"Katendeni haki na mkatoe huduma bora na kwa bidii  kwa sababu Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametuelekeza sisi watumishi kupeleka tabasamu kwa wanannchi, hivyo tutoe huduma vizuri," amesema.


Naye Mwenyeketi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Igunga, Fabian Lushindika amewapongeza vijana ambao wamekabidhiwa Pawatila hizo huku akiwaasa kuvitendea haki.


"Ninategemea ufanisi wa kazi utakua mzuri, hivyo mkatende haki kwa lengo la kuhakikisha matokeo ya kazi zenu yaonekane kwa wananchi," amesema.

============================/


Matangazo

  • WAHI FURSA ZA UWEKEZAJI IGUNGA September 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • SERIKALI YAWANUFAISHA WAKULIMA IGUNGA

    February 11, 2026
  • WATUMISHI IGUNGA WANUFAIKA KUPITIA KLINIKI INAYOENDESHWA NA IDARA YA UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALIWATU

    February 03, 2026
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI NA DED WATOA ZAWAZI KWA WASIMAMIZI WA MIRADI KWA UKAMILIFU

    January 31, 2026
  • IGUNGA MATUMIZI YA KIDIJITALI YASHIKA KASI

    January 29, 2026
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa